Wanawake wa UWT watakiwa kubeba ajenda ya kukabiliana na ukatili wa Kijinsia na Watoto
Na Barnabas kisengi Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa viongozi hususani wanawake kubeba ajenda ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia na watoto kwenye vikao vyote kuanzia kwenye maeneo yao. Waziri Dkt. Gwajima ametoa wito huo alipokuwa akiwasilisha mada ya mapambano ya ukatili dhidi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed